Abode Tidings Urubuga Nyarwanda

Indirimbo Zo Guhimbaza Imana za 500 (SDA Church 500)

Indirimbo zifite akamaro kanini cyane

Born on 20 May 1992, Isreal Mbonyi is a gospel artist from Kigali, Rwanda. His passion for music began when he was a kid. This prompted him to regard music as his career. Some of his tracks include ‘Yankuyeho Urubanza’, ‘Ndanyuzwe’, ‘Yesu Number 1, ‘Ku Migezi’ and many others.

Indirimbo zashyiriweho umugambi wera wo guhindura ibitekerezo by’abantu ngo bibe byiza ku rwego rwo hejuru kandi zashyiriweho kwivugurura mu masengesho no gusingiz’ Imana. (Patriarchs and prophets p. 594). Yesu yifatanije n’ingabo z’ijuru binyuze mu ndirimbo. ( Desire of Ages p. 73). Indirimbo ni kimwe mu byerekana umwete tugira wo gukunda Imana na Yesu. Indirimbo nziza ntizinezeza gusa, ahubwo zongera ubwenge, zikarema imico myiza mu muntu. Ibihe byinshi ndirimbo z’idini Imana irazikoresha kugira ngo igere mu mitima y’abanyabyaha no kubararikira kwakira Yesu. Abaziririmba bose tubifuriza ko zibaha kubonez’ ubukristo bwabo ngo zikundishe n’abandi benshi ubutumwa bwiza bo mu bihugu byose ziririmbwamo.

Nina siri ya Israel MBONYI

Israel Mbonyi

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki
Yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha, nikirukaruka
Hosana, amen
Yaniburudisha, nikirukaruka
Nikiimba hosana, amen
Nina siiri

Nina siri naye Yesu
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Nikiimba hosana, amen

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba hosana, Amen

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba hosana, amen

Waambie wanaolia, wakiteswa na malimwengu
Waonjeni neema yake na rehema yake Mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, amen
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, amen

Waambie wanaolia, wakiteswa na malimwengu
Waonjeni neema yake na rehema yake Mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, amen
Watafunguliwa, watawekwa huru
Wataimba hosana, amen
Nina siiri

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba hosana, amen

Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba hosana, amen

Nina siri naye Yesu (hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba hosana, amen

Nina siri naye Yesu (hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Nikiimba hosana, amen

Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba hosana, amen

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba hosana, amen

Yaniburudisha, nikirukaruka
Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hossan) Hosana, amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Hosana, amen

Nina siri naye Yesu
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, amen

Hallelujah
Hallelujah
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosanna, amen
Hallelujah

Leave a Comment

Scroll to Top