Umutima wange wawujuje amashimwe akanwa kange nako ukuzuza indirimbo Aho byari bigoye waratabaye warakoze Mwami. Abakunze Nahawe Ijambo Nabandi MweseNdabasuhuje Cyane.
Yebo Nitawale (Yes, Lead Me) Lyrics by Vestine and Dorcas bo mu Rwanda
Mwokozi wangu, nakuhitaji zaidi (My savior, I greatly need You)
Na Mwoyo wangu, unalia uwepo wako (And my heart, cries for your presence)
Nimejaribu on my own, lakini siwezi (I have tried on my own, and cannot do it)
Nakutegemea, usiniache kamwe (I rely upon you, never abandon me)
Nikiwa bado napumua (While there is still breath in me)
Jina lako ndilo nitajivunia (It is Your Name that I will boast upon)
Tena sitaki kitu cha kunikataza (Nor will I accept what will prevent me)
Kuwa chombo chako (From being Your vesssel)
Sauti yako ikaniita (Your voice called me)
Vingine vyote mimi kakataa (And I abandoned all else)
Nifiche ndani ya mabawa yako (Hide me in your feathers)
Nifike mwisho wa safari (Until the end of my journey)
Najua kwamba mimi ni wako (I know that I am Yours)
Unanipenda tena Sana (You love me greatly)
Nuru yako imenitoa gizani (Your light has brought me from darkness)
Sitaogopa kamwe (I will not be afraid) (Repeat)
Refrain:
Nitawale sasa, na hata milele Bwana (Rule over me now and into forever, Lord)
Overpower all of me, the way you truly desire
Natamani kuongozwa (I desire to be led)
Na Mkono wako Wenye nguvu (By Your mighty hand)
Breath the Fresh Air into my heart
Amen! Amen! Amen!
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus) — In Zulu
Yebo Yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Ee Mungu nitumikishe (Oh father use me)
Katika faida za mbingu (To the benefit of the heavens)
Nisimamie vizuri (To be a good steward)
Ufalme wako ndani ya ulimwengu (Your kingdom on earth)
Nijaze nguvu nipambane (Fill me with the strength to battle)
Udhaifu wangu uondoe (Remove my weaknesses)
Nidharau mishale ya machungu (For me to despise the arrows of bitterness)
Adui anaonipiga (And enemies who oppose me)
Hawa wanataja magari (While they trust chariots)
Wengine wanataja mafarasi (And the others trust horses)
Bali sisi tunalitaja (But we declare)
Hilo jina la Bwana (The Name of the Lord) (Repeat)
(Refrain)
Najua kwamba mimi ni wako (I know that I am Yours)
Unanipenda tena Sana (You love me greatly)
Nuru yako imenitoa gizani (Your light has brought me from darkness)
Sitaogopa kamwe (I will not be afraid) (Repeat)
Repeat: Sitaogopa kamwe (I will not be afraid)
Bonde la mauti (The valley of death)
Kwenye shimo la simba (The lion’s den)
Katika giza tupu (The pure darkness)
Ndani ya bahari kuu (The deep sea)
(Refrain)
Daddy God Lyrics by Niyo Bosco
Burya wari uhari (You were there), when I was wondering
Lost and alone till your right time
I was nobody, before you counted me in
When I needed you the most, nimekuona (I have seen You)
Maisha yangu ni testimony (My life is a testimony)
Kubwira abantu ko wantunze inkoni (Telling people you gave me a chance)
Ntabwo bijya bintera isoni (I am not embarrassed)
Nasema asante (I say thank you)
For all the battles you fought for me
For every broken piece that you fixed
Ndumva umutima wange uganjwe n’amashimwe (My heart overflows with praise)
Pre-Refrain:
Narwanaga intambara zikomeye (I fought hard battles)
Nibwiraga ko nge ubwange nzishoboye (That I thought I could fight by myself)
Ndatsindwa cyane nsanga ari wowe nkeneye (I failed so hard, and find that it is You I need)
None dore uko unyitaho (And look at how you talk care of me)
Refrain:
Daddy God, Daddy God
I thank you for Your affection
All along, you’ve been so, so close in every situation
Daddy God, Daddy God
You dey move in every season
All along, you’ve been so, so close in every situation
No hesitation, nina (I have) protection
Ntabwoba bw’ejo Baba God uri maso (I’m not afraid of tomorrow, Father God You are awake)
When I couldn’t see the way, You made it clear
Baba Mungu (Father God) you took away all my fears
You told me “My child, I dey always here”
Ibyo ndabyumva ngatuza, ngateta nk’umwana uri kwa Papa (I hear this and calm down like a child at His father’s house)
Kubwira amahanga yose ibyo wankoreye (I will tell all the nations what You have done for me)
Ndumva aribyo bya mbere bindyoheye (I feel like this is the first time I’ve tasted it)
Of course, I don’t walk alone, ’cause you lead me on
You never leave your own, you always make me shout “Hallelujah!”
(Pre-Refrain + Refrain)
